Wednesday, February 22, 2012

Askari wa Marekani wachoma moto Qur'ani Tukufu


Askari wa Marekani wachoma moto Qur'ani Tukufu
Wananchi wa Afghanistan wamefanya maandamano makubwa ya kulaani kitendo cha vikosi vya majeshi ya Marekani kuchoma moto nakala za Qur'ani Tukufu.
Wananchi hao wameandamana katika barabara za mji wa Kabul na nje ya kambi ya jeshi la anga la Marekani ya Bagram. Waandamanaji hao waliokuwa wamejawa na ghadhabu kwa kitendo hicho walichokiita cha kijuba cha askari wa Marekani, wamesikika wakipiga nara za mauti kwa dola hilo la kibeberu na kutoa wito wa wahusika wa uhalifu huo kufikishwa mbele ya sheria.
Aidha, maandamano ya kulaani kitendo hicho cha kuvunjiwa heshima matukufu ya Kiislamu, yameripotiwa katika miji mingine ya Afghanistan.
Ni vizuri kuashiria hapa kuwa, Aprili mwaka jana 2011, watu zaidi ya 10 waliuawa katika maandamano ya siku kadhaa nchini Afghanistan, baada ya Kasisi Terry Jones wa Marekani kuteketeza kwa moto nuskha za Qurani Tukufu katika jimbo la Florida

Source: 
http://kiswahili.irib.ir/index.php?option=com_content&view=article&id=22258:askari-wa-marekani-wachoma-moto-qurani-tukufu&catid=1:latest&Itemid=74


Afghans rally in Kabul to slam Qur'an burning by US-led forces



Afghans rally in Kabul to slam Qur'an burning by US-led forces
Kabul – Large numbers of people have turned up for angry demonstrations in Afghanistan after US-led forces in the war-wracked country burned copies of the Holy Qur’an.
According to Press TV, the angry protesters on Tuesday held protest rallies in Kabul as well as outside the US Bagram Airbase and chanted anti-US slogans, demanding the trial of the perpetrators of the desecrating act.
At least one Afghan protester was injured after US troops opened fire to disperse the angry demonstrators near the airbase, about 60 kilometers north of Kabul.
The protests came after reports emerged saying that foreign troops had burned “a large number of Islamic religious materials which included Qur’ans" at the Bagram Airbase.
Mohammad Nabi, a protester who said he was an employee at the base, told reporters that US troops killed two Afghan employees and fired five more after they protested the burning of the copies of the Holy Qur'an inside the military base.
Meanwhile, similar protests were held in other parts of the capital and several other Afghan cities.
In April 2011, at least ten people were killed and several others injured in successive days of protests in Afghanistan over the burning of the Holy Qur’an in the US.

No comments:

Post a Comment

Twitter Bird Gadget