Thursday, April 26, 2012

JE, UISLAMU NI DINI YA UMASONIA


JE, UISLAMU NI DINI YA UMASONIA (FREEMASONRY AU FREEMASONS)?!                                                  
  
©LUNG’WECHA, Khalid Mathias.
2012


“Watu wapaswa kufahamu”
[-Mwanafalsa wa Kigiriki, Plato (400- 300 BC)]


Na mtaujua ukweli na ukweli utawaweka huu
[-Biblia, Injili ya Yohana 8:32]


Uongo kama vile nyasi juu ya maji huelea, atafutae lulu hana budi kupiga mbizi”
[-John Dryden]

“Ukweli unauma iwapo kukubalika kwake hujenga hisia za woga,… kuufikia ukweli mara zote tuna paswa kuwa tayari kusadiki kwamba kile kinachoonekana kuwa cheupe ni cheusi…”
[-Profesa Njozi, Hamza M.]


Ewe Mola wangu! Nipitishe kunako mlango wa ukweli na heshima, na nitoe kupitia mlango wa ukweli na heshima na unipe nguvu kutoka kwako zenye ushindi zinisaidie
                                                                [-Qur’an Tukufu 17:80]

“Kwa yakini tulikuleteeni Haki (kweli), lakini wengi katika nyinyi mlikuwa mnaichukia haki (kwel)i”.
[-Qur’an Tukufu 43:78]

 COMING SOON!

No comments:

Post a Comment

Twitter Bird Gadget