Thursday, April 26, 2012

JE, UISLAMU NI DINI YA UMASONIA


JE, UISLAMU NI DINI YA UMASONIA (FREEMASONRY AU FREEMASONS)?!                                                  
  
©LUNG’WECHA, Khalid Mathias.
2012


“Watu wapaswa kufahamu”
[-Mwanafalsa wa Kigiriki, Plato (400- 300 BC)]


Na mtaujua ukweli na ukweli utawaweka huu
[-Biblia, Injili ya Yohana 8:32]


Uongo kama vile nyasi juu ya maji huelea, atafutae lulu hana budi kupiga mbizi”
[-John Dryden]

“Ukweli unauma iwapo kukubalika kwake hujenga hisia za woga,… kuufikia ukweli mara zote tuna paswa kuwa tayari kusadiki kwamba kile kinachoonekana kuwa cheupe ni cheusi…”
[-Profesa Njozi, Hamza M.]


Ewe Mola wangu! Nipitishe kunako mlango wa ukweli na heshima, na nitoe kupitia mlango wa ukweli na heshima na unipe nguvu kutoka kwako zenye ushindi zinisaidie
                                                                [-Qur’an Tukufu 17:80]

“Kwa yakini tulikuleteeni Haki (kweli), lakini wengi katika nyinyi mlikuwa mnaichukia haki (kwel)i”.
[-Qur’an Tukufu 43:78]

 COMING SOON!

Monday, April 23, 2012

Siri ya Coca-Cola yafichuka


In The name of Allah,The Most Merciful,The Most gracious

Revealed at last: The secret recipe for Coca-Cola 

Asslam wa’layekum Brothers and sisters !
We came to know about that a company claims there is alcohol in coca cola, we don’t know either its authentic or not, Allah knows best, Yet we want to share this news with every one, we found some proven links shown below.
Since this week, it’s a news in all majors news channels, newspapers, radio about **Alcohol as an active ingredient in COCA COLA.
COCA-Cola is dismissive of a US radio show’s claim it has discovered the secret recipe for the popular soft drink.
Coca-Cola South Pacific’s public relations manager Susie Crumpton declined to comment on whether This American Life’s recipe, which it claimed it had found in a 32-year-old newspaper, were genuine.
But she said the main ingredients used in the popular soft drink are no secret.
“The ingredients used in our beverages are listed on the product labels and many people have tried over time to crack the secret formula of Coca-Cola,” said Ms Crumpton.
“That secret combination of ingredients holds a special place in the history and mythology of Coca-Cola – something we continue to celebrate as we mark our 125th anniversary this year.”
The US website today posted a photo of a book it said contained a hand-written replica of the original recipe for Coca-Cola.   The photo was first published in the Atlanta Journal-Constitution in 1979. The recipe, which can only be mixed by two Coca-Cola Amatil executives in the world, reportedly contains the exact measures of all the different oils needed for Coca Cola’s secret ingredient, “Merchandise 7X”.
Despite making up only 1 per cent of the drink’s total formula, Merchandise 7X is what gives the popular soft drink its unique taste.
The recipe is said to be similar to previous lists made by people who have tried to uncover the secret ingredients in the past. Rumoured to be guarded 24 hours a day in a vault, the official Coca-Cola recipe has been one of the most closely guarded trade secrets since the popular soft drink was concocted by medicinal chemist John Pemberton in 1886. The drink can now be bought in more than 200 countries around the world. Here is the ‘secret recipe taken from Wikipedia see the link below:
- Fluid extract of Coca 3 drams USP
– Citric acid 3 oz
– Caffeine 1oz
– Sugar 30 (it is unclear from the markings what quantity is required)
– Water 2.5 gal
– Lime juice 2 pints 1 qrt
– Vanilla 1oz
– Caramel 1.5oz or more to colour
– 7X flavour (use 2oz of flavour to 5 gals syrup):
– *Alcohol 8oz*
– Orange oil 20 drops
– Lemon oil 30 drops
– Nutmeg oil 10 drops
– Coriander 5 drops
– Neroli 10 drops
– Cinnamon 10 drops

Allah in the Bible-1



Ukifungua "Al-Kitaab Al-Muqadis(الكتاب المقدس)' (yaani Kitabu Kitakatifu), bibilia hitumiwayo na wakristo wanaozungumza lugha ya Kiarabu neno Allah limetumiwa kila penye nenoMungu au Yehova.


Kwa wale ambao hawafahamu herufi za Kiarabu nimeweka hapa aya kutoka katika Qur'an ili wapate kulinganisha. Katika aya hizi za kiarabu zilizopo hapa chini, neno la Kiarabu "Allah" nimelikoza ili liweze kutambulika kirahisi. Baada ya kulinganisha aya hizi inategemewa kila mmoja ataweza kuona kwamba neno 'Allah' linaonekana katika Qur'an na pia katika Biblia, kwani ni neno la Kiarabu lenye maana ya Mwenyezi Mungu.



Insha'Allah, mifano hii itaondoa mashaka kwa wale walioingizwa kwenye mkumbo wa kuamini kwamba "Waislamu na wakristo wanaamini Mungu tofauti"



Hakuna njia nyingine ya kuthibitisha ukweli huu isipokuwa kumshauri kila mmoja mwenye mashaka kufanya utafiti wake mwenyewe bila ya upendeleo, chuki na jazba.



[Qur'an 1:1 * tafsiri ya Kiswahili]



"Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye kurehemu"



"Bismi Allahi ar-Rahmani, ar-Raheem"
بسم الله الرحمن الرحيم



[Mwanzo 1:1 * Biblia ya Kiswahili]
"Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na na nchi"



[Mwanzo 1:1 *Biblia ya Kiarabu]
"Fiy-al-badi' khalaqa Allahu as-Samawawwat wal Ardh" 
فِي الْبَدْءِ خَلَقَ اللهُ السَّمَاوَاتِ وَالأَرْضَ،



[Yohanna Mt. 3:16 * Biblia ya Kiswahili]
"Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa..."



[Yohanna 3:16 * Biblia ya Kiarabu]
"Li-annhu haakadha ahabba Allahu ul 'Aalama hataa badhala"



لأَنَّهُ هكَذَا أَحَبَّ اللهُ الْعَالَمَ حَتَّى بَذَلَ ابْنَهُ الْوَحِيدَ، لِكَيْ لاَ يَهْلِكَ كُلُّ مَنْ يُؤْمِنُ بِهِ، بَلْ تَكُونُ لَهُ الْحَيَاةُ الأَبَدِيَّةُ.



[Luka 1:30 * Biblia ya Kiswahili]
"Usiogope, Mariamu, kwa maana umepata neema kwa Mungu"



[Luka 1:30 * Biblia ya Kiarabu]
"Laa takhaafiy, yaa Maryam, li-annaki qad wajadt ni'mat(an) 'inda Allahi"



لاَ تَخَافِي يَامَرْيَمُ، فَإِنَّكِ قَدْ نِلْتِ نِعْمَةً عِنْدَ اللهِ



[Luka 3:38 * Biblia ya Kiswahili]
"wa Enoshi, wa Sethi, wa Adamu, wa Mungu"



[Luka 3:38 * Biblia ya Kiarabu]
"bni anuusha, bni shiyti, bni Aadama, abni Allahi."



بْنِ أَنُوشَ بْنِ شِيثِ، بْنِ آدَمَ ابْنِ اللهِ



[Mathayo 19:17 * Biblia ya Kiingereza * New King James Version]
Yaani "aliye mwema ni mmoja, naye ni Mungu
"there is none good but one, that is, God"



[Mathayo Mt. 19:17 * Biblia ya Kiarabu]

"laysa ahadun saalihaan illa waahdun wa huwa Allahu"







 [Qu'ran 1:1 - English translation]

"In the Name of God, the Compassionate, the Merciful."
[Qur'ân 1:1 - Arabic transliteration]
"Bismi-Allahi ar-Rahmani, ar-Raheem"
[Qur'ân 1:1 - Arabic]
--------------------------------------------------------------------


ENGLISH




[Genesis 1:1 - English Bible - King James Version]

"In the beginning God created the Heaven and the Earth . . . "
[Genesis 1:1 - Arabic transliteration]
"Fee al-badi' khalaqa Allahu as-Samaawaat wa al-Ard . . . "
[Genesis 1:1 - Arabic Bible]





 [John 3:16 - English Bible - King James Version]

"For God so loved the world, that . . . "
[John 3:16 - Arabic transliteration]
"Li-annhu haakadha ahabba Allahu al-'Aalama hataa badhala . . . "
[John 3:16 - Arabic Bible]





 [Luke 1:30 - English Bible - King James Version]

" . . . Fear not, Mary: for thou hast found favor with God."
[Luke 1:30 - Arabic transliteration]
" . . . Laa takhaafee, yaa Maryam, li-annaki qad wajadti ni'amat(an) i'nda Allahi."
[Luke 1:30 - Arabic Bible]





 [Luke 3:38 - English Bible - New King James Version]

"the son of Enos, the son of Seth, the son of Adam, the son of God."
[Luke 3:38 - Arabic transliteration]
"bini Anoosha, bini Sheeti, bini Aaadama, abni Allahi."
[Luke 3:38 - Arabic Bible]

Saturday, April 21, 2012

Ukweli wa Pasaka

Pasaka ni mnyama anayechinjwa kukumbuka kukombolewa Waisraeli Misri, siyo 'kufa' kwa Yesu


KINYUME na ukweli wa mambo, hivi sasa sikukuu ya Pasaka imegeuzwa na Wakristo duniani kuwa ni siku ya kukumbuka "kufa na kufufuka kwa Nabii ama Yesu (a.s.)". Ambapo tangu kuasisiwa kwa dini ya Kikristo miaka michache baada ya Yesu (a.s.) kuondoka, dhana hii (ya kufa na kufufuka) imefanywa na Wakristo kuwa nguzo kubwa na ya msingi wanayoitegemea kusimamisha Ukristo. Fuatana nami ili uweze kuangalia kwa undani ukweli wa sikukuu hii (ya Pasaka) na dhana nzima ya kufa na kufufuka kwa Bwana Yesu (a.s.).


Ukweli wa Pasaka kama alivyofundisha Mungu
Kwa mujibu wa mafundisho ya Biblia, Pasaka ni mnyama ambaye wana wa Israeli waliamrishwa na Mungu wamchinje na wamle kwa kufuata utaratibu aliouelekeza Mungu na kwa lengo maalum. Maandiko yafuatayo yanathibitisha ukweli huu:
"Hapo ndipo Musa aliwaita wa Israeli, na kuwaambia, Nendeni, mkajitwalie wana kondoo kama jamaa zenu zilivyo, mkamchinje Pasaka". (Kutoka 12:21),
"Nawe umchinjie Pasaka BWANA, Mungu wako, katika kundi la kondoo na la ng'ombe, mahali atakapochagua BWANA apakalishe jina lake". (Kumbukumbu la Torati 16:2),
"Usimchinje Pasaka ndani ya malango yako yote akupayo BWANA, Mungu wako, ila mahali atakapochagua BWANA, Mungu wako, apakalishe jina lake, ndipo mtakapomchinja Pasaka jioni, katika machweo ya jua, kwa wakati kama uliotoka Misri". (Kumbukumbu la Torati 16:5-6).
Kulingana na maandiko hayo juu, tunaona hapa Biblia inafundisha wazi kuwa Pasaka ni kondoo au ng'ombe ambaye Mungu aliwaamuru wana wa Israeli wamchinje kisha wamle. Aidha, maandiko hayo yanaonyesha wazi pia kuwa amri hiyo (ya kuchinja na kumla Pasaka) haikuwahusu watu wa mataifa mengine isipokuwa Waisraeli peke yao.


Utaratibu aliouweka Mungu wa kumla Pasaka
Pamoja na wana wa Israeli kuamriwa na Mungu kumchinja Pasaka, Mungu pia aliwawekea utaratibu (sheria) wa kumla (Pasaka) kama tunavyosoma katika maandiko yafuatayo:
"BWANA akamwambia Musa na Haruni, Amri ya Pasaka ni hii; mtu mgeni asimle; lakini mtumishi wa mtu awaye yote aliyenunuliwa kwa fedha, ukiisha kumtahiri, ndipo hapo atamla Pasaka. Akaaye kwenu hali ya ugeni, na mtumishi aliyeajiriwa, wasimle Pasaka. Na aliwe ndani ya nyumba moja; usiichukue nje ya nyumba nyama yake yoyote; wala msivunje mfupa wake uwao wote. Na wafanye jambo hili mkutano wa Israeli wote. Na mgeni atakapoketi pamoja nawe, na kupenda kumfanyia BWANA Pasaka, waume wake wote na watahiriwe, ndipo hapo akaribie na kufanya Pasaka, naye atakuwa mfano mmoja na mtu aliyezaliwa katika nchi; lakini mtu yeyote asiyetahiriwa asimle. Sheria ni hiyo moja kwa mtu aliyezaliwa kwenu, na kwa mgeni akaaye kati yenu ugenini. Ndivyo walivyofanya wana wa Israeli wote; kama BWANA alivyowaagiza Musa na Haruni; ndivyo walivyofanya". (Kutoka 12:43-50)
"BWANA akanena na Musa, akamwambia, mtu wa kwenu, au vizazi vyenu, yeyote atakayekuwa na unajisi kwa ajili ya maiti, au akiwako mbali katika safari, na haya yote, ataishika Pasaka kwa BWANA; mwezi wa pili, siku ya kumi na nne ya mwezi, wakati wa jioni, wataishika watamla pamoja na mikate isiyotiwa chachu na mboga za uchungu; wasisaze kitu chake chochote hata asubuhi, wala wasimvunje mfupa wake, kama hiyo sheria yote ya Pasaka ilivyo ndivyo watakavyoishika. Lakini mtu aliyesafi, wala hakuwa katika safari, naye amekosa kuishika Pasaka, mtu huyo atakataliwa mbali na watu wake; kwa sababu hakumtolea BWANA matoleo kwa wakati wake ulioamriwa, mtu huyo atachukua dhambi yake. Na kama mgeni akiketi kati yenu ugenini, naye ataka kuishika Pasaka kwa BWANA; kama hiyo sheria ya Pasaka ilivyo, na kama amri yake ilivyo, ndivyo atakavyofanya; mtakuwa na sheria moja, kwa huyo aliye mgeni, na kwa huyo aliyezaliwa katika nchi". (Hisabu 9:9-14).
Kwa kifupi, kama maandiko hayo yanavyoeleza, huo ndio ulikuwa utaratibu wa kumla Pasaka, ambao Mungu aliwawekea wana wa Israeli. Aidha, maandiko hayo nayo pia bado yanatuonyesha kuwa Pasaka ni mnyama ambaye Mungu aliwaamuru wana wa Israeli (peke yao) wamchinje kisha wamle.


Siku na muda aliouweka Mungu wa kuchinja na kumla Pasaka
Pamoja na Mungu kuwatajia wana wa Israeli watu wanaoruhusiwa kumla Pasaka (kama tulivyoona katika maandiko yaliyotangulia), Mungu pia aliwapangia siku na muda maalum wa kuchinja na kumla Pasaka, kama maandiko yafuatayo yanavyoeleza:
"Kisha BWANA akanena na Musa katika bara la Sinai, mwezi wa kwanza wa mwaka wa pili baada ya kutoka kwao katika nchi ya Misri, akamwambia, Tena wana wa Israeli na washike sikukuu ya Pasaka kwa wakati wake ulioagizwa. Siku ya kumi na nne kwa mwezi huu, wakati wa jioni, mtaishika kwa wakati wake ulioagizwa; kwa amri zake zote, na kama hukumu zake zote zilivyo, ndivyo mtakavyoishika. Kisha Musa akawaambia wana wa Israeli kwamba waishike sikukuu ya Pasaka. Nao wakaishika Pasaka katika mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi, wakati wa jioni, katika bara ya Sinai, vile vile kama haya yote BWANA aliyomwagiza Musa, ndivyo walivyofanya wana wa Israeli". (Hesabu 9:1-5)
"Tena, mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi, ni Pasaka ya BWANA". (Hesabu 28:16)
"Mwezi wa kwanza, siku ya kumi na nne ya mwezi wakati wa jioni, ni Pasaka ya BWANA". (Mambo ya Walawi 23:5)
"Mwana-kondoo wenu atakuwa hana ila, mume wa mwaka mmoja; mtamtwaa katika kondoo na mbuzi. Nanyi mtamweka hata siku ya kumi na nne ya mwezi ule ule; na kusanyiko lote la mkutano wa Israeli watamchnija jioni". (Kutoka 12:5-6)
Kulingana na maandiko hayo juu, tunaona kwamba siku ya Pasaka ambayo Mungu aliwapangia wana wa Israeli kuishika ilikuwa ni kila ifikapo tarehe 14 mwezi wa kwanza wa mwaka wa kutoka kwao nchini Misri. Aidha, kama maandiko mengine ya Biblia yanavyofundisha (tazama Kumbukumbu la Torati 16:1) mwezi huo uliitwa "mwezi wa Abibu" ambao ulianza kuhesabiwa kabla hata Nabii Issa au Yesu (a.s.) hajazaliwa (B.C.). Ni wazi kuwa shuhuda hiyo peke yake inadhihirisha kuwa Pasaka kuwekwa tarehe 2 mwezi wa nne wa mwaka wa kuzaliwa Yesu (A.D.) kama wanavyofanya Wakristo leo, kwa kweli hiyo si katika mafundisho sahihi ya Mungu, bali ni uzushi mtupu uliobuniwa na wanaadamu!


Lengo sahihi la Mungu kuweka sikukuu ya Pasaka
Sambamba na Mungu kuwawekea wana wa Israeli utaratibu maalum wa jinsi ya kutekeleza amri yake ya kuchinja na kumla Pasaka, vile vile Mungu hakuacha kubainisha lengo hasa la kutoa amri hiyo kwa wana wa Israeli, kama maandiko yafuatayo yanavyobainisha hapa chini:
"Utunze mwezi wa Abibu, ukamfanyie Pasaka BWANA, Mungu wako, kwa kuwa ilikuwa ni mwezi wa Abibu alipokutoa Misri usiku BWANA; Mungu wako, Nawe umchinjie Pasaka BWANA, Mungu wako, katika kundi la kondoo na la ng'ombe, mahali atakapochagua BWANA apakalishe jina lake. Usimle pamoja na mikate iliyotiwa chachu; siku saba utakula naye mikate isiyotiwa chachu, nayo ni mikate ya mateso; kwa maana ulitoka nchi ya Misri kwa haraka; ili upate kukumbuka siku uliyotoka nchi ya Misri, siku zote za maisha yako". (Kumbukumbu la Torati 16:1-3).
Kufuatana na maandiko hayo juu, tunaona kuwa lengo la Mungu kuwawekea wana wa Israeli sikukuu hiyo ya Pasaka, ilikuwa ni kwa ajili ya kukumbuka siku aliyowakomboa kuwatoa nchini Misri chini ya utawala ya Farao (Firauni). Ambapo maandiko ya Biblia yamearifu kuwa wana wa Israeli walikaa nchini Misri katika hali ya utumwa kwa muda usiopungua miaka 430 (tazama Kutoka 12:40-42)).
Aidha, maandiko hayo yanaonyesha lengo lingine la Mungu kuwawekea wana wa Israeli sikukuu hiyo (Pasaka) ilikuwa kama desturi yake kujenga uhusiano mzuri baina yake na wanaadamu endapo watatii amri zake.


Na Muhibu Said

Umuhimu wa Jihadi katika Uislamu


JIHAD maana yake ni juhudi. Dini maana yake ni mfumo au utaratibu wowote wa maisha. Uislamu maana yake ni kunyenyekea na kufuata sheria (utaratibu) ya Mwenyezi Mungu. Hivyo Jihad katika dini ya Uislamu ina maana ya juhudi au jitihada ya kuhakikisha utaratibu wa maisha (dini) ulioamriwa na Mwenyezi Mungu unafuatwa na wanaadamu.
Mujahidina ni wale watu waliokubali kufuata sheria za Mwenyezi Mungu (Waislamu) kisha wakafanya jitihada za kuwasaidia Waislamu wenzao (wanafiq) na wasio Waislamu ili nao wafuate utaratibu wa aliyewaumba kwa hiyari (mawaidha au mahubiri).
Wakuu wa Kanisa (wanatheolojia) wameviita vita vya Jihad kuwa ni "vita vitakatifu". Katika Biblia Takatifu Tabora (1967) ukurasa wa 430, wameandika maneno kwa herufi kubwa: "MATATHIA AANZISHA VITA VITAKATIFU". Wakifafanua zaidi chini yake wanasema" 2:1 Madhumuni yaliamsha ghafla moyo wa dini kati ya Wayahudi. 
Upinzani wa kukataa ustaarabu wa Wayunani uliambatana na vitendo vya kikatili (2:15-28) au kukaa tu kimya bila kufanya chochote cha kuupinga (2:15-28) au mwishoni vikazuka vita vitakatifu vinavyoazishwa na Matathia (2:39-48), vikaendelezwa hasa na Yuda Makabayo (5:3-5). Yuda Makabayo alifahamu kuwa kudumu kwa dini kuliungana na uhuru wa taifa. Kwa hiyo viliendelea hata kisha pata uhuru wa dini (6:57-62).
Hapa swali ni kuwa, "Kwa nini wakuu wa Kanisa wameviita vita hivi wakati vinadhuru (kuua, kujeruhi, kuharibu mali n.k.) maisha ya wanaadamu? Jibu tunalipata katika maneno ya Sheikh Matathia (r.l.) aliyeanzisha vita hivyo. Akiwausia wanawe anasema "msiyaogope maneno ya mtu mwenye dhambi, maana fahari yake itakuwa samadi ya funza. Leo atainuka, na kesho hataonekana kamwe, amerudia udongo wake na mawazo yake yamepotea. 
Basi ninyi, wanangu, muwe hodari, mfanye kwa kiume kwa ajili ya sheria, maana kwa hiyo MTATUKUZWA" (1 Makabayo 2:62-64).
Kwa mujibu wa maneno ya Sheikh Matathia (r.l.) tunaona kuwa cha muhimu kupigania ni sheria za Mwenyezi Mungu ili kuhakikisha wanadamu wote wanazifuata. Na kuwa utukufu wa Muislamu unapatikana pale tu anapopigania sheria za Mwenyezi Mungu. Aidha Sheikh Matathia alisema wazi kuwa endapo sheria za Mwenyezi Mungu hazitumiki, basi hakuna uhalali wa Muislamu yeyote kuwa hai. Ndio maana akasema: "... mbona basi tuzidi kuishi? Matathia na wanawe wakararua nguo zao wakajivika gunia. Wakalia kwa majonzi" (I Mak 2:13-14).
Labda swali la msingi hapa linaweza kuwa "kwa nini Mwenyezi Mungu analazimisha Waislamu wapiganie sheria za Uislamu tangu Agano la Kale (Torati) na Agano Jipya (Qur’an)?" Ili kupata jibu sahihi la swali hili, lazima turejee nyuma kabisa tujue hikma ya Mwenyezi Mungu ya kutuumba ili tujue kwa nini tupo hapa duniani.
Mwenyezi Mungu anasema: "Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu". (Qur’an 51:56). Hapa tunaona kuwa, tumeumbwa ili tumwabudu Mwenyezi Mungu (s.w.). Ibada ni neno la Kiarabu lenye maana ya kutumika (servitude) kwa hiyo tumeumbwa ili tumtumikie Mwenyezi Mungu (s.w.). Kutumika maana yake ni kutii na kutekeleza chochote unachoamriwa na unayemtumikia. Hii ina maana kuwa tumeumbwa ili tumtii Mwenyezi Mungu kwa yote aliyotuamuru. 
Kwa hiyo kukataa au kusita kutekeleza chochote kilichoamriwa na Mwenyezi Mungu ni kwenda kinyume na maumbile. Hivyo inahitajika nguvu (jihadi ya mahubiri au vita) itakayomsaidia binaadamu ili arejee katika lengo lake halisi la kuumbwa. "Sikuwaumba majini na watu ila wapate kunitii". (Qur. 51:56)
Labda swali lingine muhimu sana hapa ni kuwa "kwa nini tulazimishwe kurejea kwa Mwenyezi Mungu?" Jibu liko wazi sana. 
Ukweli ni kuwa, binaadamu katika maisha yake yote duniani na akhera anatumia neema za Muumba wake. Iwe katika kumtii au kumuasi. Kwa mfano; mtu akihubiri dini anatumia akili, midomo, masikio, macho, mikono n.k., viungo ambavyo amepewa na Mwenyezi Mungu (s.w.). Kama ni mhubiri wa kweli atakuwa anatumia viungo hivyo kumtii Mwenyezi Mungu na akiwa mhubiri wa uwongo, atatumia viungo hivyo hivyo kudanganya, kupotosha, kutukana, kudhalilisha Mitume wa Mwenyezi Mungu n.k.
Hapo atakuwa anamwasi Mwenyezi Mungu na kuwaingiza watu motoni. 
Mfano mwingine ni kuwa, mtu akiamua kustarehe na mkewe au mumewe, watatumia viungo walivyopewa na Mwenyezi Mungu na watapata starehe waliyokadiriwa na Muumba wao. Hapo watakuwa wanamtii Mwenyezi Mungu (s.w.) na ni "sadaka". Lakini mtu huyo huyo akienda kuzini atatumia viungo vile vile alivyotolea "sadaka" na atapata starehe ile ile aliyoipata kwa mkewe au mumewe. Hapo anatumia neema za Mwenyezi Mungu kumuasi Mwenyezi Mungu. 
Hivyo hakuna wakati ambao binaadamu ataweza kutumia neema alizojitengenezea mwenyewe.
Na kwa kuwa neema zote (roho, viungo vya mwili, mali, nguvu, n.k.) tumepewa ili vitusaidie katika lengo letu la kuumbwa, yaani kumtii Mwenyezi Mungu, neema hizo ni haramu kuzitumia katika kumuasi Mwenyezi Mungu (s.w.).
Kwa kuwa Mwenyezi Mungu anatupenda sana viumbe wake, ndio maana akatuwekea mbinu mbalimbali za kutusaidia katukumbusha wajibu wetu. 
Binadamu tuko tofauti tofauti. Hivyo hata mahitaji yetu nayo ni tofauti tofauti. Kuna watu ambao hawahitaji "bakora" ili waishi kama apendavyo Mwenyezi Mungu. Hawa mawaidha, mahubiri, sala tano, saumu ya Ramadhani, zaka na hija vinawatosha kabisa. Kuna wale ambao bila "bakora" hawawezi kumtii Mwenyezi Mungu.
Hawa wanahitaji mawaidha, mahubiri, viboko 100 (wazinifu wasioona au kuolewa), kukatwa mikono (wezi), kupigwa mawe hadi wafe (wazinifu waliooa au kuolewa), kusulubiwa (majambazi n.k). Kila mtu lazima apewe mahitaji yake kamili na huo ndio uadilifu. 
Kumnyima au kumpunguzia mtu mahitaji yake ni kuvunja haki za binaadamu. Hivyo anayehitaji kupigwa viboko mia (mzinifu) lazima apigwe na anayehitaji kupigwa mawe hadi afe, lazima apewe haki yake. Kila mtu lazima apate haki yake aliyopewa na Muumba wake.
Hivyo, wakuu wa Kanisa wameviita vita vya Jihadi kuwa ni "vitakatifu" kwa kuwa vinarejesha heshima na utukufu wa mfalme wa mbingu na ardhi. Aidha, vinawasaidia wanaadamu walioghafilika na dunia kupatanishwa na Muumba wao. 
Watu wanaofanya jitihada (mujahidina) ya kuwapatanisha wanaadamu na Mwenyezi Mungu, wakuu wa Kanisa wamewaita "Watakatifu", kwa kuwa wamejitoa muhanga na kuhatarisha maisha yao ili wanaadamu wenzao waishi kwa kufuata sheria za Mwenyezi Mungu na sio sheria zilizotungwa na wanaadamu.
Ndio maana hata "somo" wangu Mtakatifu Bernardo (Mfaransa) alikuwa Mtakatifu sana na kupewa cheo cha "Doctor Mekifluus" japo ndiye aliyepewa jukumu na Pope la kupiganisha vita vya pili vya msalaba. Katika vita hivi Wakristo walishindwa vibaya sana, kwani walikuwa wanapigana na jeshi la Mwenyezi Mungu (Waislamu). Mtakatifu Bernardo alikufa Agosti 20, 1153.
Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Mwenyezi Mungu (s.w.). Mtawala yeyote katika sehemu yoyote ya dunia lazima atawale kwa kufuata utaratibu (sheria) uliowekwa na mwenye mali. 
Hivyo, mtawala (Rais, Mfalme, Sultan n.k.) anayetawala kinyume na mwenye mali (Mwenyezi Mungu) ameghafilika na dunia kwa kudhani ni yake. Kwa hiyo wanatakiwa Mujahidina wajitokeze na kumzindua kwa maneno (mawaidha/mahubiri) na wakiona hayamzindui, wamzindue kwa vitendo (vita vya jihad).
Waislamu ndio wamepewa jukumu la kuhakikisha dunia inaongozwa kama atakavyo Mwenyezi Mungu maana wakashushiwa ufunuo (Agano) mpya (Qur’an) na wakaongezewa tafsiri yake katika Sunna za Mtume Muhammad (s.a.w.). Makafiri hawana ufunuo toka kwa mwenye dunia, ndio maana kila kukicha wanahaha kubandika viraka kwenye miongozo yao (katiba). Kuishi kwa kufuata miongozo toka kwenye vichwa vilivyojaa "bingwa" na "safari" ni ukafiri (tazama Qur. 5:44, 5:49-50).
Ili kuwaepusha Waislamu Waislamu na ukafiri huo, Mwenyezi Mungu aliahidi toka katika Katiba ya Kale kuwaadhibu vikali Waislamu watakapokwepa wajibu wao. Anasema: "Naye BWANA atapiga Misri, akipiga na kuponya; nao wakirudi kwa BWANA atakubali maombi yao na kuwaponya". (Isaya 19:22). Kwa ufafanuzi zaidi, rejea makala yangu "Utabiri sahihi wa kuibuka kwa Uislamu" katika AN-NUUR Na. 171 Uk. 14.
Tangu zamani za Agano la Kale, Mwenyezi Mungu amekuwa "akiwachapa bakora" Waislamu (Wayahudi) kila wanapojisahau ili kuwakumbusha kuwa wao ni "TAA" ya dunia. Waislamu wenzetu wa zamani walizinduka haraka sana mara tu "wakichapwa bakora". Ndio mana viongozi wa Kanisa wanawasifu kwa kusema "Matathia aanzisha vita vitakatifu ...madhulumu yaliamsha ghafla moyo wa dini kati ya Wayahudi (Waislamu)... mwishoni vinazuka vita vitakatifu ... Yuda Makabayo alifahamu kuwa kudumu kwa dini kuliunganika na uhuru wa taifa (siasa). Kwa hivyo vita viliendelea hata kisha pata uhuru wa dini (6:57-62) Biblia Takatifu Tabora Uk. 530.
Sisi Waislamu wa sasa pamoja na "bakora" tunazochapwa Bosnia, Kossovo, Msikiti wa Uwanja wa Ndege Morogoro, Msikiti wa Mwembechai n.k. ndio kwanza tunageukia upande wa pili ili tuuchape usingizi sawa sawa. Mwenyezi Mungu hakati tamaa wala hashindwi kutuamsha kwenye usingizi wetu mnono. Hivyo tusubiri "bakora safi sana" ambayo kwa hiyo lazima tutazinduka.
Na Bernard P. Nyangasa

False Claims Against Islam


answers QA2
Good Answers - From
sheik google01


We live in a very "STRANGE" time, don't we?
I mean, look at the many attacks in emails, videos, forums, blogs and articles of people who "CLAIM" to be EX-Muslims, or MODERN-Muslims, or QURANIC-Muslims.
Strange isn't it?
They could not be farther from the truth, yet they talk like they are experts.
This is all very amazing.
How to answer these people?
How to preserve our deen?
How to help them see truth?

IDEA: SHEIK GOOGLE (no "H" after the "K")
SheikGoogle
That's right - Now you can use our websites for real Islam in English. Now, find anything you need with just a few words.
Watch how easy it is:
  • First, STOP USING GOOGLE & YOUTUBE! (that is the one biggest problem for Muslims today)
  • Now USE: www.SearchForIslam.com (or www.SHEIKGOOGLE.com)
  • Type in KEYWORDS you want & watch what happens
    EXAMPLES:
    • Someone says "Muslims worship moon-god" (authobillah) Type in: Allah God moon
    • Email says, "Imam left Islam for Jesus" (BIG LIE) Type in: Fake Muslim
    • Article says, "Mohamed married little girl" (authobillah) Type in: Ayesha Marriage
    • Comments on blogs or forums say, "NO to Shariah" Type in: Shariah
    • A story says, "Radical Muslim Terrorists..." Type in: Jihad or Radical
    • Wafa Sultan says she is EX-Muslim & Islam is Terrorism: Type in Wafa
    • Magazine says "Islam Abuses Women" Type in: Islam Women
    • Story tells us about "New Quran" (authobillah) Type in: Fake Quran
You get the idea? Right?
Any word you type in about ISLAM, MUSLIMS, WOMEN, JIHAD, SALAH, HAJJ, FAKE, QURAN, SHARIAH, ISLAMOPHOBIA, BURN QURANS, and the list is almost forever.
Try it.
Use it.
Share it.
"LIKE" it (on Facebook)
"Tweet" it (on Twitter)
Continued...
Unfortunately today, we find truth and lies woven together in the same fabric and presented as facts by both Muslims and non-Muslims. This blog is no exception.
We understand the non-Muslim's ignorance of real Islam and their negative attitude toward Muslims considering the steady diet of misinformation to which they are constantly exposed.
However, there is no excuse for Muslims lying and misrepresenting Islam - or anything else for that matter. Shame on those who knowingly deal in falsehood.
A smart reader will consider three things:
1. Who is saying it?
2. What might be their motives?
3. Does it factually match testable evidences?
Next time you find a Muslim prevaricating (speaking falsely or misleadingly; deliberately misstating or creating an incorrect impression; lie) LYING - show them what Islam really says about this:

Ask them to aquire real facts about their own religion before attempting an intellectual discourse in a public forum such as this.
OK - Now 'click' here & go to:
Sheik Google.com

Italy's PM Refuse to Ban Hijab


Hijab no_ban_in_Italy6Many Countries Ban Hijab
Hijab no_ban_in_Italy1Italian Minister Refuses Ban
"How can I sign Hijab Ban Law," says Italian Minister, "when we see all the pictures of Mary wearing the exact same thing?
Rome, Italy -- April 12, 2012 Italian Legal Minister Refuses to Sign "Ban Against Hijab"
Can you imagine this? There is justice and balance amongst some of the Catholics as well as other faiths.
Hijab no_ban_in_Italy2Italian Minister Pointing Out Fact: Mary, mother of Jesus (peace be upon her) always wore hijab (at least in all the pictures).
Hijab no_ban_in_Italy3
We Muslims should come to grip with the facts. And see what is going on around us right now, today.
There are those out there who will speak the truth even if it is unpopular to do so and we ask Allah to Guide them to all truth (and us too) ameen.

Then consider how many Muslims themselves do not wear hijab or even make fun or refuse to accept hijab for those who do wear it, calling them "oppressed" or "backward".
The order for hijab does not come from humans. Rather this is something from the very Creator and Sustainer of us all - Allah Subhannah Wa Ta'ala.

Twitter Bird Gadget